Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Cheka kidogo na wewe hapa
Angalia hawa kina mama, ni shida..!
Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika
Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass
Angalia huyu mgonjwa
Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga