Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on June 14, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Njeri (Guest) on March 3, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on December 10, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

James Kimani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on November 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Baraka (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on September 23, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Said (Guest) on August 14, 2023

Mzee kawawezaπŸ˜€

Lydia Wanyama (Guest) on July 28, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Nuru (Guest) on July 17, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Waithera (Guest) on June 10, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on June 1, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Omar (Guest) on April 17, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on February 18, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on December 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on November 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on November 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 1, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on October 30, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on October 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jackson Makori (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on September 3, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on June 11, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwafirika (Guest) on June 8, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Omar (Guest) on June 1, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Charles Mrope (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Diana Mumbua (Guest) on March 23, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mrope (Guest) on January 28, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on January 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on December 24, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More