Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Mduma (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Salima (Guest) on June 26, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Peter Mwambui (Guest) on June 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on May 18, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mwajuma (Guest) on May 8, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Ann Wambui (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on April 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Kheri (Guest) on April 2, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on April 1, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Maimuna (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Grace Mligo (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on March 2, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 13, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Kitine (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on December 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Amani (Guest) on November 27, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Josephine (Guest) on October 30, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on October 1, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on September 7, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on August 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Robert Okello (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Biashara (Guest) on August 21, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on July 20, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on July 11, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Amani (Guest) on May 25, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mutheu (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Victor Kamau (Guest) on May 11, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on May 8, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Chiku (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Khamis (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alice Mrema (Guest) on March 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on March 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on February 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on December 28, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on November 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ruth Mtangi (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 22, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

John Mwangi (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on July 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on June 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on June 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on June 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 11, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on May 30, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on May 13, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Related Posts

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More