Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Kamande (Guest) on June 22, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwachumu (Guest) on June 18, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nchi (Guest) on June 15, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 30, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Majid (Guest) on April 19, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kenneth Murithi (Guest) on March 1, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on January 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nahida (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Moses Mwita (Guest) on December 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on December 14, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on December 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mbithe (Guest) on November 15, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on October 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 30, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on September 26, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on September 13, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on August 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on August 19, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

James Kimani (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Muthui (Guest) on August 5, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mary Kendi (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on July 8, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Mwambui (Guest) on May 29, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 16, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Tenga (Guest) on March 11, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Furaha (Guest) on March 2, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on February 6, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on February 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on November 28, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hashim (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alice Mrema (Guest) on October 26, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 19, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on October 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 3, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on September 9, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 31, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Anna Malela (Guest) on August 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Kassim (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Linda Karimi (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Salum (Guest) on July 9, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on July 3, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Bakari (Guest) on May 17, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on May 16, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on May 14, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Husna (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More