Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

😄😅👏😂

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! 😂🤣

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

😅 Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

😂🤣😆

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

😆 Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

😆 Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

😅 Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! 😂😅

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

😄 Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! 😅😊

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

😂 Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

😂😆

Aziza (Guest) on February 22, 2023

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! 😂👌

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

😅 Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

😆👏😂😄

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

😄 Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

😂🤣😂😅

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍

Habiba (Guest) on July 31, 2022

😄 Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Nyota (Guest) on June 30, 2022

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Related Posts

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

😂... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandika MBWA​MKALI kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More