Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwanakhamis (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Sokoine (Guest) on December 13, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 2, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on November 28, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jafari (Guest) on October 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Issa (Guest) on October 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mushi (Guest) on September 27, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Tenga (Guest) on July 9, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on July 6, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 17, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on May 12, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Makame (Guest) on May 11, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Henry Sokoine (Guest) on April 21, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alice Mrema (Guest) on April 14, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 9, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on April 3, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Nyambura (Guest) on March 29, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Mushi (Guest) on March 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on March 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 21, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rashid (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mgeni (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Mwalimu (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on October 28, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Farida (Guest) on October 3, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Sokoine (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mariam (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Athumani (Guest) on August 22, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Wambura (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on July 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

John Malisa (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maida (Guest) on July 11, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Francis Mtangi (Guest) on June 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edith Cherotich (Guest) on May 30, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on April 19, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on April 4, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Ndoto (Guest) on February 27, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on January 26, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on January 20, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Daniel Obura (Guest) on November 21, 2019

😊🀣πŸ”₯

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on October 19, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on September 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More