Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
" kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti akazimia

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hahahahahaha! Hatari

Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Agnes Njeri (Guest) on July 5, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on July 4, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Amina (Guest) on July 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hamida (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Malima (Guest) on May 15, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 10, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Asha (Guest) on May 8, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Wangui (Guest) on April 14, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on April 10, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on December 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on September 15, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 30, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwajuma (Guest) on June 5, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Stephen Kikwete (Guest) on June 3, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Mwita (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on January 8, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on November 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on November 9, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Asha (Guest) on November 2, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Chiku (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Selemani (Guest) on October 21, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on October 11, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Omar (Guest) on October 7, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on September 30, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Komba (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 23, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on April 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 19, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on January 31, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kawawa (Guest) on January 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 1, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on December 4, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Mwangi (Guest) on November 28, 2021

Asante Ackyshine

Makame (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Njuguna (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More