Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Violet Mumo (Guest) on June 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hekima (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 29, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 27, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Lowassa (Guest) on March 25, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Edith Cherotich (Guest) on March 21, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 3, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Charles Wafula (Guest) on December 12, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

John Kamande (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on December 1, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on November 25, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 18, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on November 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 15, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 15, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Hawa (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Kidata (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Paul Kamau (Guest) on August 17, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Adhiambo (Guest) on July 25, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Saidi (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Mrema (Guest) on July 14, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zubeida (Guest) on July 12, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Husna (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Minja (Guest) on June 14, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Anna Sumari (Guest) on June 1, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 25, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on April 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 31, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Sarah Karani (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 3, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on January 13, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Wambui (Guest) on January 3, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Kawawa (Guest) on December 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

James Kawawa (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 8, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on December 2, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on November 6, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on October 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Charles Wafula (Guest) on August 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on May 24, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on May 10, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on May 6, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nancy Komba (Guest) on April 11, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on April 5, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More