Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Featured Image

Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,





mwanao anakupigia simu baba/mama mimi mzima sijafa mpenzi wangu ABDUL aliniambia nishuke Chalinze ili niwe nae kwa siku mbili alafu niende shule je, wewe mzazi unge mfanyaje mwanao?


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Saidi (Guest) on July 20, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Zakia (Guest) on May 29, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Sumaya (Guest) on May 22, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nuru (Guest) on May 20, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Bernard Oduor (Guest) on May 2, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Janet Mwikali (Guest) on April 22, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on April 6, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 3, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 27, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on March 25, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Anna Mahiga (Guest) on February 8, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on January 23, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 22, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on January 15, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on January 12, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Charles Wafula (Guest) on January 9, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Lucy Mahiga (Guest) on January 2, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on October 6, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Betty Akinyi (Guest) on September 11, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Charles Mchome (Guest) on August 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Faiza (Guest) on July 17, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sofia (Guest) on July 4, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 1, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on June 11, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on May 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 25, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ahmed (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Kibwana (Guest) on March 22, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Mbise (Guest) on March 19, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on March 11, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Karani (Guest) on March 8, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Omar (Guest) on February 22, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mchome (Guest) on February 17, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 17, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 8, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on February 2, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 24, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

James Malima (Guest) on January 22, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Kamau (Guest) on January 21, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 13, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 8, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Waithera (Guest) on December 14, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Dorothy Nkya (Guest) on October 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on October 19, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on September 11, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Habiba (Guest) on July 26, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mariam Kawawa (Guest) on July 21, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Tibaijuka (Guest) on July 11, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Nyerere (Guest) on June 4, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mary Mrope (Guest) on May 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on April 17, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on April 8, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More