Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Featured Image

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…

Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.

Bibi akampachika jamaa jinsia ya kike alipofika mahakamani kuhojiwa akasema mi sijampa ujauzito kwasababu minina jinsia ya kike pia…!
Kwa kuthibitisha akajifunua nguo, basi jamaa akashinda kesi.

Jamaa akawa anarudi Home, lakini wakati anakaribia kufika akaona watu wengi wamejaa home wanalia akauliza kulikoni akaambiwa "Bibi amefariki"!

Vuta picha hapo…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mchome (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nuru (Guest) on June 23, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Mbithe (Guest) on May 29, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on May 24, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sumaya (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Tambwe (Guest) on April 15, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rabia (Guest) on April 1, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on March 6, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Malima (Guest) on January 5, 2024

Asante Ackyshine

Warda (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jacob Kiplangat (Guest) on December 12, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Achieng (Guest) on November 25, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 14, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on November 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Chiku (Guest) on October 19, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 24, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Linda Karimi (Guest) on August 17, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on July 18, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 5, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Kidata (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on April 16, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwinyi (Guest) on April 3, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jane Malecela (Guest) on February 28, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanakhamis (Guest) on February 9, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on January 22, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

David Nyerere (Guest) on December 22, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Warda (Guest) on September 10, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on August 16, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on August 15, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Vincent Mwangangi (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Hashim (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

George Mallya (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Irene Makena (Guest) on April 17, 2022

😊🀣πŸ”₯

Lucy Wangui (Guest) on March 23, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on February 8, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Salima (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Kiwanga (Guest) on February 5, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 1, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ann Wambui (Guest) on January 29, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on December 20, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on December 5, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on November 24, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on November 23, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwanaisha (Guest) on October 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Patrick Mutua (Guest) on October 3, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on September 27, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on September 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More