Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Frank Sokoine (Guest) on June 27, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on June 8, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mary Njeri (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Akinyi (Guest) on April 9, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shani (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Salum (Guest) on February 18, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jackson Makori (Guest) on December 7, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Husna (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

John Mushi (Guest) on December 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 23, 2023

🀣πŸ”₯😊

Victor Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Safiya (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Betty Akinyi (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on August 26, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on July 30, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on July 5, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 27, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nahida (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on May 22, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on May 4, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 17, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joyce Aoko (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on April 9, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 4, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maimuna (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on March 4, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Malima (Guest) on February 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on January 30, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nasra (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 2, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on December 21, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Furaha (Guest) on December 11, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on November 20, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on November 4, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on October 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Malima (Guest) on October 6, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on September 28, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on September 28, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kenneth Murithi (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Hashim (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Sokoine (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Simon Kiprono (Guest) on June 6, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Shamim (Guest) on May 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Aziza (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Mwambui (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More