Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mchome (Guest) on January 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on January 10, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on November 19, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nasra (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alex Nyamweya (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

David Musyoka (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nasra (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on August 18, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on July 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Muslima (Guest) on May 24, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Tabitha Okumu (Guest) on March 13, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Muslima (Guest) on February 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sarah Achieng (Guest) on February 8, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwachumu (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Mahiga (Guest) on February 2, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edwin Ndambuki (Guest) on January 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on January 9, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Biashara (Guest) on December 22, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 18, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Azima (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Maida (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ramadhan (Guest) on September 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 28, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on June 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Susan Wangari (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anthony Kariuki (Guest) on March 25, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on March 20, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on February 16, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on November 14, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mboje (Guest) on October 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on October 18, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Halimah (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Kiwanga (Guest) on September 2, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Shani (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Anna Sumari (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 5, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Shamim (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on May 25, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mgeni (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Margaret Mahiga (Guest) on May 17, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rahim (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More