Soma vichekesho hivi;
Mwizi wa atm
Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.
Cheka kidogo
Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.
Mlizi mbio mbio
Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.
13, 13β¦
Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,β¦.. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14β¦β¦
WATAALAM
Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
Ya leo mgonjwa
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
4WD
Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"
Ajali ilivyotokea
Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"
Faini ya kukojoa
Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tenaβ¦
Mume anaenda kazini
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kaziniβ¦
Hasira za mtoto
Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.
Mgonjwa na Dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.
Pilau la bachela
Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.
Mwizi na chizi
Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.
Chemsha bongo
Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"
Asajo the great (User) on May 8, 2026
I have satisfied with u're comedy thanks!
Guest (Guest) on June 28, 2026
Enjoy kuwa na namba yangu japo maisha ni popote lakini uwezi kuishi chooni <mapenz ulaya africa biashara kama kutoa ni moyo basi kujumlisha ni figo by melky by torong kindimb
Guest (Guest) on June 28, 2026
Enjoy kuwa na namba yangu japo maisha ni popote lakini uwezi kuishi chooni <mapenz ulaya africa biashara kama kutoa ni moyo basi kujumlisha ni figo by melky by torong kindimb
Guest (Guest) on May 28, 2026
hii noma
Guest (Guest) on June 28, 2026
Jamaa alikula chakula bila kusali akaona chakula sio kitamu by chelew hapo torongi kindimba
Guest (Guest) on June 21, 2026
Umetisha
Guest (Guest) on June 26, 2026
BAHATi0702990167
Asajo the great (User) on May 8, 2026
I have satisfied with u're comedy thanks!
Susan Wangari (Guest) on May 22, 2024
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Guest (Guest) on February 10, 2026
ni maukali sana
Guest (Guest) on February 28, 2026
WAPI
Guest (Guest) on May 9, 2026
Safi sana
Guest (Guest) on June 15, 2026
hatar
Guest (Guest) on May 24, 2026
Oy niaj apo
Guest (Guest) on June 26, 2026
Mambow
Guest (Guest) on June 22, 2026
Iko poa
Guest (Guest) on May 23, 2026
.
Guest (Guest) on February 9, 2026
PWWW
Guest (Guest) on January 29, 2026
Juliana cheyo
Guest (Guest) on May 2, 2026
HATARI
Guest (Guest) on May 9, 2026
Mm leo mke wangu katoka asubuhi namuulizia unaenda
Wap amenijibu nijue yangu yake haya nihusu hapa nipo kumupeleka kwao ambako yanawahusu
Guest (Guest) on May 4, 2026
Nimefurah sana
Guest (Guest) on May 24, 2026
Mamb fat
Guest (Guest) on March 30, 2026
ww mimi fatu unanikumbka
Guest (Guest) on May 9, 2026
Fatu mamb
Guest (Guest) on December 27, 2025
Enzi zip?
James Kawawa (Guest) on May 9, 2024
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on May 4, 2024
ππππ
Guest (Guest) on March 4, 2026
Nice
Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2024
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Guest (Guest) on May 25, 2026
Xxx
Andrew Mchome (Guest) on March 26, 2024
πππ π€£
Nancy Kabura (Guest) on January 18, 2024
ππ€£ππ
Guest (Guest) on March 7, 2026
Mambo ni fire
Nancy Kabura (Guest) on January 12, 2024
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Guest (Guest) on June 18, 2026
Nimekubali
Betty Akinyi (Guest) on November 1, 2023
π Ninakufa hapa!
Faith Kariuki (Guest) on October 19, 2023
π Dhahabu ya vichekesho!
Guest (Guest) on February 15, 2026
vichesho vipya
Catherine Naliaka (Guest) on October 11, 2023
π€£πππ
Guest (Guest) on June 28, 2026
Tuko
Jane Muthui (Guest) on October 2, 2023
π Umeshinda mtandao leo!
Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2023
Hii imenifurahisha sana! ππ
Lucy Kimotho (Guest) on September 6, 2023
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
James Kawawa (Guest) on July 4, 2023
π Siwezi kuacha kucheka!
Paul Kamau (Guest) on June 25, 2023
π Umenishika vizuri!
Jackson Makori (Guest) on May 24, 2023
Hii ni kali sana! ππ€£
Sharon Kibiru (Guest) on May 18, 2023
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Janet Sumaye (Guest) on May 11, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
David Nyerere (Guest) on April 21, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Asajo the great (User) on May 8, 2026
Emb cheka tuone!
Guest (Guest) on December 24, 2025
Chemsha bongo
Guest (Guest) on June 28, 2026
Kitu gani kina panda akichuki?ΒΏ shemsha bongo __......by.......melky boy
Guest (Guest) on June 28, 2026
Kitu gani kina panda akichuki?ΒΏ shemsha bongo __......by.......melky boy
Guest (Guest) on June 28, 2026
Kitu gani kina panda akichuki?ΒΏ shemsha bongo __......by.......melky boy
Guest (Guest) on June 28, 2026
Kitu gani kina panda akichuki?ΒΏ shemsha bongo __......by.......melky boy
Jackson Makori (Guest) on April 20, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ