Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
" kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA"
Binti akazimia

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on May 18, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 10, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on March 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on March 18, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zakia (Guest) on March 2, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Mwita (Guest) on February 25, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on February 16, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on February 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 12, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on December 31, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Martin Otieno (Guest) on December 30, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Lissu (Guest) on December 3, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on October 29, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Warda (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on August 9, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on August 2, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on July 18, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on July 15, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mchawi (Guest) on June 30, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on June 24, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mary Mrope (Guest) on June 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Patrick Akech (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Andrew Mahiga (Guest) on May 13, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on April 10, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mushi (Guest) on April 1, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Peter Otieno (Guest) on March 20, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Omar (Guest) on February 26, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sekela (Guest) on February 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Peter Mbise (Guest) on February 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 5, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Thomas Mtaki (Guest) on December 17, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Monica Adhiambo (Guest) on December 12, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Brian Karanja (Guest) on December 9, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Bakari (Guest) on October 30, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sarah Achieng (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Edith Cherotich (Guest) on September 25, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Frank Macha (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on September 10, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Salum (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Yahya (Guest) on July 19, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Patrick Kidata (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 13, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Lucy Kimotho (Guest) on June 12, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on June 12, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Mkumbo (Guest) on June 7, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kevin Maina (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 14, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Jackson Makori (Guest) on April 6, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More