Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Featured Image

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hivi:-

1.Jasho la nyoka.
2.Manyoya ya mende.
3.Sisimizi Shoga.
4.Mbwa mjane.
5.Kuku aliye single.
6.Samaki mwenye miaka miwili bila kuoga
7.Mti wenye ujauzito.
8.Mbavu za Nzi.
9.Nywele za Kiroboto.
10.Mwanya wa Mbu.
Duuh..!! mwanangu kwa hali hii mbona itakula kwako.
Wengine wanasemaga
IGA UFE! Rizik anagawa Mungu tu shetan simuelew!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

sam (User) on June 17, 2025

Hatari wanaoenda kwa waganga

sam (User) on June 17, 2025

Hatari wanaoenda kwa waganga ukale mbwa anayeongea kizungu

Grace Minja (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Minja (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on June 15, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Aziza (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mwachumu (Guest) on May 4, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Mwangi (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on April 24, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Khatib (Guest) on April 10, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Daniel Obura (Guest) on March 22, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 1, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

John Lissu (Guest) on January 18, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 26, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Binti (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 2, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on October 17, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 4, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on October 3, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Rashid (Guest) on September 25, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on August 8, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on July 8, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on July 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Wilson Ombati (Guest) on July 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 15, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on June 14, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Francis Njeru (Guest) on June 13, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on June 2, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on June 1, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Kamau (Guest) on April 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 2, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on February 16, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on February 15, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 8, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on February 2, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Anna Malela (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 6, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Abdullah (Guest) on December 25, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on December 19, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Christopher Oloo (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Mohamed (Guest) on November 30, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mbise (Guest) on October 16, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on September 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Sumari (Guest) on August 17, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on August 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on July 28, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ibrahim (Guest) on July 25, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on July 6, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Mboya (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Samuel Were (Guest) on April 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More