Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Omari (Guest) on April 19, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on April 18, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Jebet (Guest) on March 6, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 18, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on February 4, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2020

🀣πŸ”₯😊

Isaac Kiptoo (Guest) on January 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on December 29, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Wilson Ombati (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on November 14, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mtaki (Guest) on November 9, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 27, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on September 15, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on September 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on August 31, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 19, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Abubakari (Guest) on July 16, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sumaya (Guest) on July 11, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on July 3, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alex Nakitare (Guest) on June 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Lowassa (Guest) on May 24, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on May 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mchuma (Guest) on May 1, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on April 22, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on April 7, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 30, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Janet Sumari (Guest) on March 23, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Mushi (Guest) on March 16, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 13, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on January 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zuhura (Guest) on January 5, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 4, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sofia (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kenneth Murithi (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on October 19, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Ndungu (Guest) on August 28, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Biashara (Guest) on July 10, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Chris Okello (Guest) on June 20, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mtangi (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Tenga (Guest) on May 7, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Shabani (Guest) on April 27, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on April 23, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwafirika (Guest) on April 3, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

George Ndungu (Guest) on March 29, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on March 9, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ann Wambui (Guest) on February 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on January 11, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwanaisha (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Patrick Mutua (Guest) on October 9, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More