Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mary Sokoine (Guest) on June 27, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Amir (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mchome (Guest) on April 30, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on March 31, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Wambura (Guest) on March 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on March 2, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 29, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on February 23, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hawa (Guest) on February 5, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sarah Karani (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Irene Makena (Guest) on December 29, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on November 26, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kenneth Murithi (Guest) on November 8, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Mgeni (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Mwangi (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on September 13, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mallya (Guest) on August 8, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jane Malecela (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on July 23, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Njoroge (Guest) on July 7, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on June 27, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on June 20, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on May 21, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

John Malisa (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on March 17, 2023

😊🀣πŸ”₯

Diana Mallya (Guest) on February 11, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on February 7, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on January 25, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Wande (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nuru (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Bernard Oduor (Guest) on October 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on October 26, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Anna Mchome (Guest) on August 31, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on August 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rubea (Guest) on August 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Sokoine (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Binti (Guest) on July 30, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faiza (Guest) on July 25, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on July 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 11, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

James Kimani (Guest) on July 10, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on July 6, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 13, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on May 26, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Abdullah (Guest) on May 20, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 30, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mushi (Guest) on April 17, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More