Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Lissu (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Guest (Guest) on August 4, 2025

mhehe

Asha (Guest) on June 29, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Chris Okello (Guest) on May 20, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Faiza (Guest) on May 2, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Josephine Nekesa (Guest) on March 8, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Chris Okello (Guest) on February 27, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mjaka (Guest) on February 9, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Ndungu (Guest) on February 8, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on January 22, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on January 6, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Hekima (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Kendi (Guest) on December 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on December 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on November 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on November 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Yusra (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Kazija (Guest) on November 12, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Alice Mwikali (Guest) on August 22, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Irene Akoth (Guest) on July 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Hashim (Guest) on June 8, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on May 1, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Minja (Guest) on April 11, 2023

😊🀣πŸ”₯

Martin Otieno (Guest) on April 2, 2023

Asante Ackyshine

Fredrick Mutiso (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 29, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on March 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwakisu (Guest) on February 26, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Masanja (Guest) on January 25, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Hassan (Guest) on January 2, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Farida (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samson Mahiga (Guest) on December 11, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on November 12, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Paul Kamau (Guest) on October 27, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 2, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on September 20, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 4, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Selemani (Guest) on August 19, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on August 7, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Nahida (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Monica Nyalandu (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Edward Lowassa (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Kenneth Murithi (Guest) on June 8, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Abubakar (Guest) on April 28, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on March 2, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on February 25, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on February 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Lowassa (Guest) on February 6, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Frank Sokoine (Guest) on January 3, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on December 30, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More