Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.

04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.

05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on February 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

John Lissu (Guest) on February 1, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on January 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Mbise (Guest) on January 5, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on December 20, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on December 10, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on November 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on November 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

David Musyoka (Guest) on October 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on September 15, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Philip Nyaga (Guest) on September 13, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumari (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on August 14, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Patrick Kidata (Guest) on August 13, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Thomas Mtaki (Guest) on July 12, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Shani (Guest) on June 11, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on June 8, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on June 7, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on May 19, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Faith Kariuki (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 31, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on March 11, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on March 7, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on March 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on February 17, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Baridi (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on December 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine Nekesa (Guest) on November 6, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on October 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on October 21, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on September 18, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 17, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 2, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on July 29, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Mwita (Guest) on July 10, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Waithera (Guest) on July 5, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Lowassa (Guest) on July 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Ibrahim (Guest) on April 13, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Neema (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Khalifa (Guest) on March 14, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Wairimu (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Mbise (Guest) on February 5, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on January 26, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Aziza (Guest) on January 13, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on January 9, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on January 3, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on December 31, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on December 9, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on November 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fikiri (Guest) on October 1, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Faith Kariuki (Guest) on August 21, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More