Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Baraka (Guest) on October 2, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Selemani (Guest) on September 20, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Isaac Kiptoo (Guest) on September 6, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on September 4, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on August 28, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on August 3, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanais (Guest) on July 13, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 10, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on July 5, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on June 25, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamim (Guest) on May 28, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Michael Mboya (Guest) on May 3, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Francis Njeru (Guest) on April 29, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on March 16, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on March 6, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on March 5, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Fatuma (Guest) on February 17, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Peter Mugendi (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Kiza (Guest) on January 3, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Musyoka (Guest) on January 1, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on December 26, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on December 24, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kheri (Guest) on November 26, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on November 19, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on October 14, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on October 13, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on October 11, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Majid (Guest) on October 8, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mboje (Guest) on October 8, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on October 1, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Stephen Malecela (Guest) on September 21, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on September 18, 2018

🀣πŸ”₯😊

David Chacha (Guest) on August 9, 2018

😊🀣πŸ”₯

Fadhila (Guest) on August 4, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 6, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Abdullah (Guest) on June 22, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Issa (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mary Sokoine (Guest) on May 16, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Sokoine (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Mahiga (Guest) on May 1, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Sultan (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Sumari (Guest) on April 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Zulekha (Guest) on March 12, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kenneth Murithi (Guest) on February 24, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Yusra (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Ndomba (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lydia Wanyama (Guest) on February 1, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 15, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 2, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ann Awino (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hawa (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Kimaro (Guest) on December 6, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 3, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 26, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on November 13, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 1, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Ndungu (Guest) on September 28, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Michael Mboya (Guest) on September 18, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Related Posts

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More