Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa





AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on July 18, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Bahati (Guest) on June 9, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on May 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Shani (Guest) on May 2, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Guest (Guest) on February 16, 2026

Hahahaha

Guest (Guest) on February 16, 2026

Year hapo afande akiingia tu anacho

Michael Mboya (Guest) on January 17, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on January 3, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on November 26, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on October 12, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 23, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on September 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Kikwete (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on August 4, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Maneno (Guest) on August 2, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Henry Sokoine (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Raphael Okoth (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Amina (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on June 4, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 16, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on April 8, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on February 21, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mariam Kawawa (Guest) on February 15, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on February 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Furaha (Guest) on February 7, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Fredrick Mutiso (Guest) on January 3, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Fadhila (Guest) on December 2, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on November 23, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Leila (Guest) on October 25, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on October 19, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 14, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on September 29, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Kendi (Guest) on September 24, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salma (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Sumari (Guest) on September 11, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on August 1, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on July 13, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Agnes Njeri (Guest) on July 8, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Malela (Guest) on June 8, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on May 7, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Salima (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on May 1, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 20, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Amani (Guest) on April 9, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Mahiga (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on February 26, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jabir (Guest) on February 19, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Akumu (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More