Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Featured Image

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe:* πŸ‘†πŸΏ _(raised up his hand.)_

*Teacher:* `So it’s only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class? Thus, no body else to answer the question except Shemdoe?`

_(There was no reply from the students)_

*Teacher:* `Ok. now Shemdoe, chukua hii fimbo, charaza vilaza hawa wote kila mmoja viboko 3.`

*Shemdoe* _(akiwa amevimba kichwa, akawatwanga viboko vitatu vitatu vya kushiba darasa nzima)_

*Teacher:* `Now, my dear Shemdoe tell this dumb students, who a pharmacist is…?`

*Shemdoe:* `Yes, sir. a Pharmacist is a farmer who assists people.`

_*Shemdoe sasa hivi amelazwa MOI kwa wataalam wa mifupa*_πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on May 5, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 25, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on April 8, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on April 1, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on March 17, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ann Wambui (Guest) on February 26, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on February 12, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on January 23, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Malima (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Elizabeth Malima (Guest) on January 11, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on January 7, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Nasra (Guest) on January 5, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 17, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on December 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on December 14, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on November 22, 2019

😊🀣πŸ”₯

Frank Macha (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on October 31, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on October 20, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Zulekha (Guest) on September 23, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

David Musyoka (Guest) on September 19, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Kidata (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on September 1, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on August 16, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Kawawa (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on July 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on July 10, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 4, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Zawadi (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Wanjiru (Guest) on June 27, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on June 13, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Emily Chepngeno (Guest) on June 4, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on May 15, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Kawawa (Guest) on May 10, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Makame (Guest) on May 1, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Agnes Lowassa (Guest) on April 23, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on February 8, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on December 30, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on December 17, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on December 9, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Zakaria (Guest) on November 2, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Martin Otieno (Guest) on October 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Margaret Anyango (Guest) on October 20, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rahma (Guest) on October 14, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joyce Mussa (Guest) on September 26, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on August 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 17, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kheri (Guest) on May 28, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on May 10, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on May 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 8, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on March 25, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Amani (Guest) on December 17, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Wande (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Paul Ndomba (Guest) on October 31, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on October 9, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More