Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mgeni (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 28, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Guest (Guest) on December 17, 2025

mambo

Mary Sokoine (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Binti (Guest) on April 16, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahma (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Baraka (Guest) on March 14, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Ochieng (Guest) on March 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on February 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on January 2, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on November 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Ann Wambui (Guest) on November 8, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mboje (Guest) on October 6, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on September 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on September 11, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on August 6, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on August 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on July 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on July 17, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on June 11, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on May 8, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kassim (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Samson Mahiga (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Makena (Guest) on February 27, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on January 10, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 8, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 7, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chiku (Guest) on November 9, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 17, 2025

Dah hiyo noma

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mtumwa (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joy Wacera (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on October 3, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Zuhura (Guest) on September 24, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on September 21, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Andrew Mchome (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on August 21, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Amollo (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanaidi (Guest) on July 17, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Zuhura (Guest) on July 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on June 2, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fredrick Mutiso (Guest) on May 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Akumu (Guest) on May 16, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on May 14, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

George Mallya (Guest) on May 10, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on April 13, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on April 11, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on March 2, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More