Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Mwikali (Guest) on February 5, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Kidata (Guest) on November 28, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nassor (Guest) on November 13, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mohamed (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 19, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 16, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Philip Nyaga (Guest) on July 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Kikwete (Guest) on June 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on June 12, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Margaret Mahiga (Guest) on June 3, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on May 19, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mustafa (Guest) on April 26, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 20, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on February 17, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on January 9, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 24, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Susan Wangari (Guest) on October 19, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Kamande (Guest) on October 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Wanjiru (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 29, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Kamau (Guest) on September 13, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on September 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on September 4, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on September 1, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on August 27, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on August 27, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nora Kidata (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on June 13, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on June 2, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Raphael Okoth (Guest) on April 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarafina (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nancy Akumu (Guest) on March 6, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on February 29, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Salma (Guest) on February 9, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on February 8, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on January 10, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Baridi (Guest) on December 26, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Paul Ndomba (Guest) on December 26, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on December 18, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edward Lowassa (Guest) on December 1, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Wambura (Guest) on October 21, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on October 15, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jamal (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More