Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Featured Image

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu

SHARE NA MARAFIKI ZAKO WAKUMBUKE ENZI ZA SHULE KIDOGO

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakari (Guest) on July 5, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Simon Kiprono (Guest) on July 3, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on June 2, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on May 12, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nuru (Guest) on April 4, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on March 29, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mrope (Guest) on February 25, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Guest (Guest) on September 28, 2025

Ya 3 inauma sana

Grace Mligo (Guest) on February 24, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shamim (Guest) on February 24, 2024

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Mrope (Guest) on February 21, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Mushi (Guest) on February 4, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on December 29, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Zawadi (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Malecela (Guest) on December 26, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2023

🀣πŸ”₯😊

Janet Mwikali (Guest) on November 17, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Nkya (Guest) on October 31, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on August 3, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on June 6, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 3, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on April 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on April 9, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Paul Kamau (Guest) on March 9, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Guest (Guest) on February 10, 2026

Ya 9 noma sana

Charles Wafula (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mtaki (Guest) on January 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwajuma (Guest) on January 1, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Safiya (Guest) on December 12, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on December 5, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 27, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Furaha (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rabia (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthui (Guest) on October 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on October 21, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on September 28, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanahawa (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jaffar (Guest) on September 10, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Jane Malecela (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on August 22, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Azima (Guest) on July 28, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More