Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fikiri (Guest) on March 17, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sekela (Guest) on January 19, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Nyerere (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Malecela (Guest) on January 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 17, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 12, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on October 27, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on October 22, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 12, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Mwangi (Guest) on August 8, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Francis Mrope (Guest) on July 16, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on June 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Amina (Guest) on May 30, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 18, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on March 25, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on March 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on March 10, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Linda Karimi (Guest) on March 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on January 3, 2022

😊🀣πŸ”₯

Raphael Okoth (Guest) on January 2, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on December 18, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on December 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 20, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Juma (Guest) on October 21, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kikwete (Guest) on October 1, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Paul Kamau (Guest) on September 11, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on August 16, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mushi (Guest) on July 29, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on July 10, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on April 29, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 23, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 26, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Dorothy Nkya (Guest) on December 22, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Miriam Mchome (Guest) on December 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on November 18, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mhina (Guest) on October 28, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Tabu (Guest) on October 12, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mwajuma (Guest) on October 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mercy Atieno (Guest) on October 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on September 21, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Husna (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More