Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Featured Image

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills…yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu .
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ changamkia fulsa umri ukifika

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chum (Guest) on January 28, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Susan Wangari (Guest) on January 28, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on January 23, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on January 21, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shamim (Guest) on November 25, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Francis Mtangi (Guest) on November 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Tenga (Guest) on September 7, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on August 21, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on August 20, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on July 19, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Salima (Guest) on June 26, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Frank Sokoine (Guest) on June 12, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Juma (Guest) on June 6, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Kenneth Murithi (Guest) on June 6, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on May 31, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kassim (Guest) on May 26, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on May 21, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kassim (Guest) on May 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 1, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Simon Kiprono (Guest) on March 15, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sarafina (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Raha (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nassor (Guest) on March 4, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Masanja (Guest) on February 6, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tabu (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 23, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwanais (Guest) on December 11, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on November 8, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Michael Mboya (Guest) on November 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Arifa (Guest) on September 22, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaidi (Guest) on September 14, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Margaret Mahiga (Guest) on August 12, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on July 4, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kiza (Guest) on June 24, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on June 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on June 8, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on May 29, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Majaliwa (Guest) on May 22, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on May 18, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on May 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on April 26, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Maida (Guest) on March 14, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on February 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zawadi (Guest) on February 20, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nasra (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Saidi (Guest) on December 22, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anthony Kariuki (Guest) on November 21, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on October 13, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on October 8, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on September 30, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Mbithe (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on August 29, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Related Posts

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More