Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Featured Image
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja,

Mhudumu: kaka nikuhudumie nini,
Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
Mhudumu: dada na wewe?
Demu akajibu kwa pozi tena kwakujishaua, "NA MIMI NILETEE MENU LIST ILA USIWEKE CHUMVI NYINGI"
Chezea mbulula wewe…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on July 17, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on July 11, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on June 28, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Kheri (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Mushi (Guest) on June 19, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on June 5, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Guest (Guest) on September 9, 2025

Amesahau nini

Alice Mwikali (Guest) on June 2, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jamila (Guest) on May 27, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on April 22, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on April 18, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on April 8, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Victor Mwalimu (Guest) on April 1, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zakia (Guest) on March 15, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Linda Karimi (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mustafa (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on February 8, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on January 28, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on January 26, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 23, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on January 8, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on December 8, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Makame (Guest) on December 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on November 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 15, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Baraka (Guest) on August 29, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on August 16, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on August 14, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on July 31, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on July 31, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on July 27, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Lucy Mahiga (Guest) on June 30, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nassar (Guest) on June 18, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Mahiga (Guest) on June 16, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Sokoine (Guest) on May 31, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on May 29, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Majid (Guest) on May 19, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Joy Wacera (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on April 24, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 24, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on April 19, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on March 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on February 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on February 28, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on February 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sumaya (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Paul Kamau (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Agnes Njeri (Guest) on January 25, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nassor (Guest) on January 3, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Issack (Guest) on December 27, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 1, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jamal (Guest) on November 30, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mwajabu (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Related Posts

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More