Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Featured Image

Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mvulana ambaye hampendi,
hatua ya kwanza ni kukataa
ndoa hiyo na kuonyesha wazi
wazi. Jadiliana suala hili na
wazazi wako. Waeleze kwa
heshima kwa nini hukubaliani
na ndoa hiyo.

Kwa kawaida wazazi wanape-nda mambo mema kwa watoto wao.
Kwa hiyo kuwepo na uhusiano mzuri kati ya wazazi na watoto
kunaweza kukapangilia mambo yakaenda vizuri.
Iwapo jaribio la kuzungumza na wazazi wako halikufaulu,
unaweza ukazungumza na mtu mwingine unayemwamini ambaye
atakubali kuzungumza na wazazi wako. Kumbuka kwamba iwapo
bado unalazimishwa kufunga ndoa, unaweza kutoa taarifa polisi
kwa kuwa sheria ya Tanzania hairuhusu kulazimisha ndoa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

  1. Kuwasiliana kwa Ukaribu Ha... Read More

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende 🌟

Karibu sana kwenye makala hi... Read More

Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana

Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana

Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana

Katika uhusiano wowote, uaminif... Read More

Je, kuna madhara kama mtu akikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi?

Je, kuna madhara kama mtu akikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi?

Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya ukikaa muda mrefu bila kujamii ana. Hakuna madha... Read More

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba? 🌸🌍

Read More
Ualbino husababishwa na nini?

Ualbino husababishwa na nini?

Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele... Read More
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako

Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako

Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako

Kupanga tarehe ya kipekee na msichana ... Read More

Msichana ambaye hajawahi kujamiiana anaitwa bikira, je mvulana huitwaje?

Msichana ambaye hajawahi kujamiiana anaitwa bikira, je mvulana huitwaje?

Neno β€œbikira” ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwana... Read More

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?

Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu... Read More

Jinsi ya kujikinga na ubakaji

Jinsi ya kujikinga na ubakaji

Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea. Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unawe... Read More
Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?

Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?

Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k... Read More

Inawezekana msichana akapata mimba kabla ya kuvunja ungo?

Inawezekana msichana akapata mimba kabla ya kuvunja ungo?

Msichana anaweza kupata mimba kabla ya kuvunja ungo, yaani kabla ya kuona hedhi kwa mara ya kwanz... Read More