Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Nini matatizo ya macho ya Albino?

Featured Image

Mboni katika macho ya Albino haina pigimenti ya rangi. Kwa
hiyo, ni rahisi macho yao kuathiriwa na mwanga. Kwani mboni
ndiyo inayolinda jicho la ndani lisipatwe na mwanga mkali.
Vilevile kama mboni inavyolinda jicho dhidi ya mionzi ya jua,
inakuwa vigumu kuona kwa usahihi utofauti katika picha. Kwa
hiyo uwezo wa kuona unatiwa mawingu mawingu. Hivyo basi, ni
muhimu sana kukwepa inavyowezekana mionzi ya jua na kulinda
macho kwa kuvaa miwani ya jua.

Albino mara
nyingi hawaoni
vizuri, na hii
i n a t o f a u t i a n a
k w a m m o j a
hadi mwingine.
Inawezekana ni
kutoona mbali,
kutoona karibu au kuona mawingumawingu (ukungu).
Matatizo haya hutofautiana katika Albino. Ukweli ni kuwa
Albino anaweza kushiriki katika michezo mbalimbali, baadhi
wanaweza kuendesha magari na wengi wanaweza kusoma
maandishi ya kawaida.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?

Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?

Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina ni... Read More

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? 😊✨

Karibu rafiki yangu!... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? 😊

Karibu vijana wa... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Uvumilivu katika Uhusiano wako na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Uvumilivu katika Uhusiano wako na Msichana

Kuwa na uhusiano mzuri na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anataka. Hata hivyo, wakati mwin... Read More

Nifanye nini ili kuepuka kubakwa na mpenzi/ rafiki?

Nifanye nini ili kuepuka kubakwa na mpenzi/ rafiki?

Kuna baadhi ya vidokezo ambavyo vinaweza kukusaidia: 1. Usikae faragha na mwenzi wako kabla hujawa t... Read More
Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye β€œpeku”?

Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye β€œpeku”?

Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaum... Read More

Mambo usiyoyajua kuhusu mimba na wasichana

Mambo usiyoyajua kuhusu mimba na wasichana

Je, mimba hupatikanaje?

Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzung... Read More

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku... Read More

Haki za uzazi ni zipi?

Haki za uzazi ni zipi?

Haki za binadamu ni haki zinazohusiana na mambo ya msingi na asili ya uhuru na heshima ya ubinadamu ... Read More
Msaada juu ya ukeketaji

Msaada juu ya ukeketaji

Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unawez... Read More

Jinsi ya Kuvutia Wasichana: Vidokezo vya Kuchumbiana na Wasichana

Jinsi ya Kuvutia Wasichana: Vidokezo vya Kuchumbiana na Wasichana

Jambo rafiki yangu! Katika maisha ya kila siku, tunakutana na wasichana wengi ambao tunapenda kuw... Read More

Kwa nini mara nyingi mvulana ni mwepesi sana katika kuanzisha kufanya mapenzi? Na kwa nini mwanaume mara nyingi anafikia mshindo kabla ya mwanamke? Mwanaume anawahi kufika kileleni kwa nini?

Kwa nini mara nyingi mvulana ni mwepesi sana katika kuanzisha kufanya mapenzi? Na kwa nini mwanaume mara nyingi anafikia mshindo kabla ya mwanamke? Mwanaume anawahi kufika kileleni kwa nini?

Kwa kawaida i inakubalika kuwa wavulana ndiyo waaanze kuonyesha ishara za kujamiaana na tafiti zi... Read More