Dawa za kulevya huathiri ubongo jinsi unavyofanya kazi. Hubadili hisia na husaidia kuondoa aibu na vizuizi vingine. Mtu hujisikia jasiri na mwenye nguvu na hivyo ni rahisi zaidi kwake kushawishika kufanya ngono kuliko asipozitumia dawa hizo.

Kwa nini watu hutaka kufanya mapenzi baada ya kutumia dawa za kulevya?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, watu wanapendelea kutumia muda mrefu katika kujenga msisimko kabla ya kufanya ngono/kufanya mapenzi?
Habari yako rafiki yangu? Leo nataka kuzungumzia suala ambalo limekuwa likiwasumbua wengi kwa mud... Read More

Sheria kuhusu utoaji mimba
Sheria kuhusu utoaji
mimba zinatofautiana
kati ya nchi na nchi. Hapa
Tanzania utoa...
Read More

Je, nini imani ya watu katika kujaribu njia za kutanua wigo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, nini imani ya watu katika kujaribu njia za kutanua wigo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mape... Read More

Vidokezo vya Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuanza Uhusiano
Urafiki mzuri ni msingi muhimu wa kuanza uhusiano wa kimapenzi. Kujenga urafiki mzuri na msichana... Read More

Je, uume una urefu kiasi gani? Ni kweli kwamba wanaume warefu wana uume mkubwa na wale wafupi wana uume mdogo?
Kwa kawaida urefu wa uume ambao haujasisimuka kwa wastani ni kati ya sentimeta 7 na 10, na uume ... Read More

Mapenzi salama ni yapi?
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zi... Read More

Vidokezo vya Kufanya Msichana Ajiambie Kuwa Anakupenda
Kila mwanamume anapenda kujua kama msichana anayempenda anahisi hivyo hivyo kumhusu. Lakini sio k... Read More

Je, kuna madhara gani kama mtu anakaa muda mrefu bila kujamiiana au kufanya mapenzi?

Inawezekana msichana akapata mimba kabla ya kuvunja ungo?
Msichana anaweza kupata mimba kabla ya kuvunja ungo, yaani kabla ya kuona hedhi kwa mara ya kwanz... Read More

Nikitumia nyembe kali au sindano pamoja na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI ninaweza kupata Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Ndiyo, unaweza kuambukizwa ukitumia nyembe kali au sindano kwa kuchangia pamoja na mtu mwenye vir... Read More

Je, ni madhara gani atapata mama mjamzito endapo atajamiiana na mwenzi wake?
Kama kati ya mwanamke na mwanaume hakuna mwenye magonjwa ya zinaa, hakuna madhara yoyote kwa mwan... Read More

Jinsi ya Kuomba Msichana Awe Rafiki Yako
Kuomba msichana awe rafiki yako si jambo rahisi kama inavyoweza kuonekana kwa wengi. Hata hivyo, ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!