Jinsi ya kupika Biskuti Za Tende
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viamba upishi
Unga 4 Vikombe vya chai
Sukari ya laini (icing sugar) 1 Kikombe cha chai
Baking powder 2 Vijiko vya chai
Mayai 2
Siagi au margarine 1 Kikombe cha chai
Vanilla 1 Kijiko cha chai
Maziwa ya kuchanganyia kiasi
Tende iliyotolewa koko 1 Kikombe
ufuta (sasame) kiasi 1/4 kikombe
Jinsi ya kuandaa na kupika
1. Changanya unga, siagi, baking powder, na sukari katika mashine.
2. Kisha tia mayai, vanilla na halafu maziwa kidogo kidogo hadi mchanganyiko ushikamane.
3. Gawanya madonge mawili na usukume kama chapati, lakini sio nyembamba sana.
4. Tandaza tende robo ya duara na unyunyize ufuta duara zima: kisha kunja hadi mwisho na ukate kate, kisha upange katika trei ya kuvumbika.
5. Vumbika (bake) moto wa 350°F kwa muda wa dakika 20 au hadi vigeuke rangi na viwive.
6. Zikisha iiva ziache zipowe na zitakuwa tayari kuliwa.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mahitaji
Mpunga - 4 vikombe
Nyama - 1 kilo moja
Kitunguu maji - 3
Mbata...
Read More
Viamba upishi
Unga
2 Magi (kikombe kibuwa cha chai)
Sukari
1/3 Kikombe ch...
Read More
Viambaupishi
Sosi Ya tuna
Tuna (samaki/jodari) 2 Vikopo
Vitunguu (kata kata) ...
Read More
Mahitaji
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (...
Read More
Upishi kwa Ajili ya Kusaidia Kinga: Kujenga Uimara 🍎🥦🏋️♀️
Habari za leo ...
Read More
Vipimo
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs)
Kuku - 2
Vitnguu ...
Read More
Wali Wa Nazi
Mpunga - 4 vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi - Kiasi
Read More
Mahitaji
Bamia (okra) 20
Nyanya chungu (garden eggs) 5
Magadi soda (Bicabonate ...
Read More
Mahitaji
Mchele wa basmati - 4 cups
Samaki nguru (king fish) - 7 vipande au zaidiRead More
Mara nyingi biringanya hutumika kama kiungo cha nyongeza katika mchuzi. Hata hivyo, kiungo hiki k...
Read More
Vitumbua ni aina ya vitafunwa vya chai ambavyo hutengenezwa kwa kutumia unga wa mchele. Kiasili v...
Read More
Mahitaji
Dagaa waliokaushwa (dried anchovy 2 kikombe cha chai)
Bamia (okra 5)
N...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!