Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mahitaji
Mchele - 2 vikombe
Adesi -1 ½ vikombe
Nazi ya unga - 1 Kikombe
<...
Read More
Mahitaji
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu m...
Read More
Viamba upishi
Mboga za majani makavu ¼ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zi...
Read More
Mahitaji
Mayai yaliochemshwa 4
Nyama ya kusaga robo kilo
Kitunguu swaum
Ta...
Read More
Matunda ni mojawapo wa kundi la vyakula, ni muhimu sana kwa afya bora. Matunda yakitengenezwa viz...
Read More
Upishi wa vyakula vya virutubishi kama vile karanga na mbegu ni muhimu sana kwa afya yetu. Kwa ba...
Read More
Mahitaji
Pilipili hoho (Red pepper 3)
Cougette 1
Kitunguu (onion 1)
Uyoga ...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga vikombe 2
Sukari ya kusaga 1/4 Kikombe
Siagi 250 gms
...
Read More
Mahitaji
Ngano nzima (shayiri) - 3 Vikombe
Kuku - ½ (3 LB takriban)
Thomu na...
Read More
Mahitaji
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu m...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga wa ngano 1 1/2 Kikombe
Baking powder 1 Kijiko cha chai
Bak...
Read More
Wakati mwingine mtu unakuwa umechoka na usingependa kupoteza muda jikoni, so mlo wa chapchap unak...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!