Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Viamba upishi
Unga wa ngano vikombe vikubwa 3
Boga lililopondwa kikombe 1
Bakin...
Read More
Mahitaji
Ndizi laini (Matoke 6)
Viazi mbatata (potato 3)
Samaki wabichi wa wast...
Read More
VIPIMO VYA WALI
Mchele wa hudhurungi (brown rice)
na (wild rice kidogo ukipenda)Osh...
Read More
Mahitaji
Mchele 2 vikombe vya chai
Choroko kikombe 1 na 1/2
Nazi kopo 1
Sw...
Read More
Mawazo ya Chakula cha Usiku cha Dakika 20 kwa Familia Yote ๐ฎ๐๐
Kama AckySHINE, le...
Read More
Jinsi ya Kujiandaa kwa Chakula cha Afya Ukiwa Safarini ๐๐ฅช๐ซ
Kuwa na lishe bora ni ...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano 1 Kilo
Siagi ยผ kilo
Mayai 2
Kastadi (custa...
Read More
MAHITAJI
Unga - 3 Vikombe vya chai
Baking powder - 1 ยฝ Vijiko vya chai
Sukar...
Read More
Mahitaji:
Unga sembe glass 1
Unga ngano glass 1
Sukari glass 1 (unaweza kupungu...
Read More
Viamba upishi
Mboga za majani makavu ยผ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zi...
Read More
Mahitaji
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano vikombe vikubwa 3
Boga lililopondwa kikombe 1
Bakin...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!