Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Susan Wangari (Guest) on May 22, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on December 27, 2025

Enzi zip?

James Kawawa (Guest) on May 9, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 26, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 12, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Betty Akinyi (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Faith Kariuki (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 11, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Paul Kamau (Guest) on June 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jackson Makori (Guest) on May 24, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on May 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on May 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on April 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Guest (Guest) on December 24, 2025

Chemsha bongo

Jackson Makori (Guest) on April 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 13, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on March 21, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mary Sokoine (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 14, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on December 12, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on December 12, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on December 4, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 11, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on November 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on October 14, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on September 19, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zakaria (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Sokoine (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Kibwana (Guest) on April 29, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 19, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 3, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Abdullah (Guest) on January 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 17, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on December 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Wilson Ombati (Guest) on November 8, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 6, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on October 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on September 23, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More