Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kevin Maina (Guest) on August 7, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mercy Atieno (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 16, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

John Mwangi (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanais (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Richard Mulwa (Guest) on June 20, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Diana Mumbua (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Kendi (Guest) on May 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on May 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joy Wacera (Guest) on April 28, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 12, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Related Posts

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More