Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Featured Image

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika

1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : πŸ—£Joniiiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule

2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: πŸ—£ we Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama

3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: πŸ—£ Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Mduma (Guest) on October 24, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on October 12, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Aziza (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 3, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 2, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on June 18, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 14, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Betty Kimaro (Guest) on April 23, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Daudi (Guest) on April 11, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Irene Makena (Guest) on April 9, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Agnes Sumaye (Guest) on March 2, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Nora Kidata (Guest) on February 19, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mchuma (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Catherine Naliaka (Guest) on February 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Irene Makena (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Peter Mwambui (Guest) on December 30, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on October 11, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Agnes Sumaye (Guest) on October 9, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Kibwana (Guest) on October 1, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ann Wambui (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Zainab (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samuel Omondi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joyce Aoko (Guest) on August 4, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 10, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Issack (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Sokoine (Guest) on July 6, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 5, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Biashara (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samuel Were (Guest) on February 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on February 11, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on February 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on January 18, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on January 14, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mbise (Guest) on November 21, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Mwangi (Guest) on November 14, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

John Kamande (Guest) on November 10, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jane Muthui (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on October 28, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on October 26, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on October 10, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on September 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on September 7, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on September 2, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on August 16, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on July 28, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sarafina (Guest) on July 18, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Sokoine (Guest) on July 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Related Posts

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More