Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii sasa kali kweli kweli!!

Featured Image

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac watu wakaanza kutoa 50,000/= 30,000/= na 20,000/=.

Kuna jamaa akatoa 500/=.

MCHUNGAJI akamuita ofisin akamuuliza.

MCHUNGAJI:Ina maana mkeo siyo mzuri?. Jamaa akajibu: Ukimuona utanirudishia na chenji.

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sekela (Guest) on May 25, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

George Wanjala (Guest) on May 19, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Kheri (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Halima (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Patrick Kidata (Guest) on May 2, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Grace Mligo (Guest) on April 7, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Bernard Oduor (Guest) on March 2, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 25, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on January 13, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on January 13, 2017

Asante Ackyshine

Mohamed (Guest) on January 5, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Monica Adhiambo (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Malela (Guest) on December 14, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on November 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 2, 2016

🀣πŸ”₯😊

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 13, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Wilson Ombati (Guest) on October 5, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Frank Sokoine (Guest) on September 24, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mwafirika (Guest) on September 3, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Wairimu (Guest) on September 3, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on August 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 2, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kazija (Guest) on July 30, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Majaliwa (Guest) on June 26, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Selemani (Guest) on May 17, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fikiri (Guest) on April 14, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chiku (Guest) on March 3, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anthony Kariuki (Guest) on March 2, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Moses Kipkemboi (Guest) on February 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on February 20, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Elijah Mutua (Guest) on December 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Irene Makena (Guest) on December 27, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on December 12, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakaria (Guest) on November 11, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on November 2, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on September 29, 2015

😊🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on August 26, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on July 31, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

George Tenga (Guest) on July 28, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on July 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on June 26, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on June 15, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on June 15, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Jafari (Guest) on June 5, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on May 27, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on May 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Abubakari (Guest) on April 3, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More