Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Featured Image

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mpole

5.Asimuonee wivu mke wake

6.Awe mwenye upendo wa dhati

7.Asishike simu ya mke wake.

8.Akimkuta na mwanaume apite tu, akitaka kujua ni nani asubiri nyumbani

9.Awe anamskiliza mke wake kwa kika kitu.

10.Asipende mwanamke mwingine zaid yake

UKIMPATA MWANAUME MWENYE SIFA HIZO KAPIME DNA LAZIMA ATAKUWA NI BABA AKO.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwachumu (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Salima (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mary Kendi (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 2, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Halimah (Guest) on June 27, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Lowassa (Guest) on May 26, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on May 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on April 9, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Margaret Mahiga (Guest) on March 31, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on March 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on February 8, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on February 7, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on January 28, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on January 9, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Salum (Guest) on January 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ali (Guest) on December 30, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Kamande (Guest) on December 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on December 17, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Abubakari (Guest) on December 1, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Thomas Mtaki (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on October 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 13, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Josephine (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Njoroge (Guest) on June 20, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on May 2, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joyce Nkya (Guest) on April 7, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Issa (Guest) on March 23, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Kiwanga (Guest) on March 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on March 16, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Sumaye (Guest) on March 11, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on March 7, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Sarafina (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mchuma (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Charles Mboje (Guest) on January 5, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Martin Otieno (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on November 27, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Sokoine (Guest) on November 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 25, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ali (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Samuel Were (Guest) on September 30, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on September 24, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on September 10, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on September 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nahida (Guest) on August 26, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Henry Sokoine (Guest) on July 25, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sarafina (Guest) on July 22, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Daniel Obura (Guest) on July 17, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on June 12, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

James Malima (Guest) on May 7, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 18, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Related Posts

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More