Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi

UFAFANUZI

1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu

2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora

3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Kawawa (Guest) on March 7, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

James Malima (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on February 6, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on January 9, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on December 22, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on December 20, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on December 3, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on November 27, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on September 23, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Makame (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mzee (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mary Sokoine (Guest) on August 22, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Kipkemboi (Guest) on June 18, 2016

😊🀣πŸ”₯

Elizabeth Mrope (Guest) on June 11, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 31, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on May 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Mwalimu (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Emily Chepngeno (Guest) on April 17, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on March 27, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on March 15, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on March 11, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on February 4, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Bakari (Guest) on January 11, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ruth Mtangi (Guest) on December 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on December 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shukuru (Guest) on October 13, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jane Muthui (Guest) on October 10, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on October 3, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on October 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on September 21, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 14, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam (Guest) on September 13, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on September 7, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Tenga (Guest) on August 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mrope (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Anna Mahiga (Guest) on August 15, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Umi (Guest) on July 11, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fredrick Mutiso (Guest) on June 9, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joyce Aoko (Guest) on May 14, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on April 28, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More