Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Mduma (Guest) on July 10, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 4, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 9, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on May 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on May 5, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 3, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 13, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on April 11, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 26, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on February 13, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Benjamin Masanja (Guest) on February 12, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Amukowa (Guest) on February 6, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on January 31, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on January 12, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on December 4, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rehema (Guest) on October 20, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alex Nakitare (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Moses Mwita (Guest) on September 2, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lydia Mahiga (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on August 10, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on August 3, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on July 27, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Kahina (Guest) on June 26, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on May 31, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on May 18, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amina (Guest) on May 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 9, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on April 5, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samuel Omondi (Guest) on March 6, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on December 16, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Catherine Naliaka (Guest) on November 5, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kabura (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Hekima (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alex Nyamweya (Guest) on July 31, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2015

😊🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raha (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on July 5, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 27, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mashaka (Guest) on May 20, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ahmed (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo