Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumuua nyoka huyo isipokuwa akiji uma mwenye ndo anaweza kufa, wanasayansi hao walieleza japo uchunguz zaid bado unaendelea… huyu ni nyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea katika historia ya maisha ya mwanadam..

nyoka huyu hupatikana katika simu pekee za nokia toch katika sehem ya game inaitwa snake xenzia..

asanteni kwa kufurah na umakin mkubwa katika usomaji wa matini hii…

haya ni mambo ya wikiend jaman na iwe njema kwenu wote

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on March 14, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Mushi (Guest) on March 3, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Susan Wangari (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on February 7, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on January 18, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on January 10, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on January 2, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on December 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on December 1, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 25, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Akumu (Guest) on November 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Kawawa (Guest) on November 8, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Janet Wambura (Guest) on November 1, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on October 16, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Grace Mushi (Guest) on October 15, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on October 10, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Ruth Kibona (Guest) on September 17, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on September 15, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mgeni (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Omar (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on August 31, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Hekima (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joseph Mallya (Guest) on August 24, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on July 13, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Sumaye (Guest) on July 5, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Lissu (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Henry Mollel (Guest) on April 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 20, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Omar (Guest) on April 12, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on April 10, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 15, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on December 26, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on December 18, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Tambwe (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nuru (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Mbise (Guest) on November 12, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 9, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Lowassa (Guest) on September 24, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on August 21, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Latifa (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sharon Kibiru (Guest) on August 11, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Henry Sokoine (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwajabu (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rose Mwinuka (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on May 29, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Halima (Guest) on May 10, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Francis Mrope (Guest) on April 27, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 10, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Related Posts

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More