Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on June 8, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Philip Nyaga (Guest) on May 16, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 16, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Were (Guest) on May 15, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Martin Otieno (Guest) on March 17, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on March 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on March 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on January 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 4, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Habiba (Guest) on December 19, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on November 15, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on November 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on October 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 26, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Amani (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Shabani (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mrope (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on May 22, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mutheu (Guest) on May 21, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on May 16, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on May 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Irene Akoth (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Jane Muthui (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Juma (Guest) on April 5, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samuel Were (Guest) on March 2, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 26, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Asha (Guest) on February 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Lissu (Guest) on January 15, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 3, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Nancy Komba (Guest) on November 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on November 14, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on October 30, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on October 27, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

George Mallya (Guest) on October 18, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on September 7, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

George Wanjala (Guest) on August 27, 2015

🀣πŸ”₯😊

Jane Muthoni (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on August 14, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Zakia (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 24, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mohamed (Guest) on July 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Hellen Nduta (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Rahma (Guest) on May 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 28, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Nahida (Guest) on May 9, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

James Mduma (Guest) on April 17, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Violet Mumo (Guest) on April 11, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Related Posts

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More