Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarafina (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Amir (Guest) on September 15, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Benjamin Masanja (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on August 9, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on July 28, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on July 6, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samuel Were (Guest) on June 25, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salma (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ann Awino (Guest) on June 13, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 25, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on March 26, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Mwalimu (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on February 10, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mashaka (Guest) on February 4, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Chiku (Guest) on October 9, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on October 8, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Robert Okello (Guest) on October 4, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Kawawa (Guest) on September 7, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Henry Mollel (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Yusuf (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sekela (Guest) on March 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Akinyi (Guest) on March 15, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Sokoine (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mahiga (Guest) on January 10, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Khamis (Guest) on October 17, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 10, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

John Kamande (Guest) on September 30, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on September 16, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Musyoka (Guest) on September 11, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 4, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on August 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nasra (Guest) on July 31, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 27, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Tenga (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Sumari (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Jebet (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 2, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 16, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Mallya (Guest) on April 10, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More