Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Ochieng (Guest) on August 12, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on July 30, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Lowassa (Guest) on July 17, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on May 28, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 20, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on May 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Sharifa (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mbise (Guest) on April 26, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on April 16, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on March 29, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Aziza (Guest) on March 13, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Hellen Nduta (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Kimario (Guest) on January 23, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Diana Mallya (Guest) on December 9, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Kamau (Guest) on December 1, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on November 25, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Lowassa (Guest) on November 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Tambwe (Guest) on November 3, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Kevin Maina (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on September 25, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on September 18, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on August 24, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on July 18, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joy Wacera (Guest) on June 16, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on April 10, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 29, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on March 3, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Minja (Guest) on February 26, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on February 22, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Josephine Nduta (Guest) on February 20, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on February 16, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on December 13, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

David Ochieng (Guest) on November 27, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on November 19, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on October 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

George Mallya (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mbithe (Guest) on August 16, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 14, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on July 10, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 17, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on June 17, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Faiza (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

James Kawawa (Guest) on April 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on April 2, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More