Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Mussa (Guest) on January 10, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on November 19, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nasra (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alex Nyamweya (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

David Musyoka (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nasra (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on August 18, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on July 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Muslima (Guest) on May 24, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Tabitha Okumu (Guest) on March 13, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Muslima (Guest) on February 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sarah Achieng (Guest) on February 8, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwachumu (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Mahiga (Guest) on February 2, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edwin Ndambuki (Guest) on January 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on January 9, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Biashara (Guest) on December 22, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 18, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Azima (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Maida (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ramadhan (Guest) on September 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 28, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on June 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Susan Wangari (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anthony Kariuki (Guest) on March 25, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on March 20, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on February 16, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on November 14, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mboje (Guest) on October 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on October 18, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Halimah (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Kiwanga (Guest) on September 2, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Shani (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Anna Sumari (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 5, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Shamim (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on May 25, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mgeni (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Margaret Mahiga (Guest) on May 17, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rahim (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More