Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on September 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on July 17, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jafari (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Josephine (Guest) on July 1, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 1, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 10, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kiza (Guest) on April 30, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on April 15, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Kitine (Guest) on March 23, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Mrema (Guest) on March 10, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 12, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 9, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 5, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Bahati (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Henry Mollel (Guest) on November 30, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Fadhila (Guest) on November 10, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on October 5, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on July 31, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kahina (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Njoroge (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on May 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 11, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 21, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mercy Atieno (Guest) on January 18, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zainab (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on December 26, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rahma (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on November 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on October 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on October 12, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on August 20, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 5, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Biashara (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Jebet (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mustafa (Guest) on May 22, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on May 3, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More