Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on July 17, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jafari (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Josephine (Guest) on July 1, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 1, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 10, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kiza (Guest) on April 30, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on April 15, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Kitine (Guest) on March 23, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Mrema (Guest) on March 10, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 12, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 9, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 5, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Bahati (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Henry Mollel (Guest) on November 30, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Fadhila (Guest) on November 10, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on October 5, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on July 31, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kahina (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Njoroge (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on May 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 11, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 21, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mercy Atieno (Guest) on January 18, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zainab (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on December 26, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rahma (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on November 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on October 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on October 12, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on August 20, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 5, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Biashara (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Jebet (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mustafa (Guest) on May 22, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on May 3, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More