Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salima (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on February 5, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Malima (Guest) on January 8, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nyota (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Michael Mboya (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Wilson Ombati (Guest) on November 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Raphael Okoth (Guest) on November 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on September 30, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hashim (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Sumaye (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Khadija (Guest) on July 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on July 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kabura (Guest) on April 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Lissu (Guest) on April 12, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on April 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on March 14, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Sokoine (Guest) on March 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on March 2, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ruth Kibona (Guest) on January 17, 2016

🀣πŸ”₯😊

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kiza (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on December 16, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mgeni (Guest) on November 14, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Mjaka (Guest) on October 24, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tambwe (Guest) on September 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mwikali (Guest) on September 23, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on August 12, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on July 27, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Macha (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on June 20, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on June 14, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 17, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on May 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

David Sokoine (Guest) on May 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More