Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Featured Image
Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, kijani. Wale wanawake wakatatizika baada ya mda wakajua ni chupi walizovaa. Wakasema basi kesho tubadilisheni. Siku ya pili wakapita tena kasuku akasema nyeusi, manjano, zambarau. Loh! Wanawake wakastaajabu sana. Wakasema lazima wamshinde yule kasuku kwa hekima. Wakaambiana basi kesho tusivae chupi tuone kama ni kweli anaona mpaka ndani. Siku ilipowadia wakapita mbele ya kasuku akasema- kipilipili, kipara, rasta…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Malisa (Guest) on October 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Salima (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Wafula (Guest) on September 4, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Halimah (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Rashid (Guest) on August 3, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Mwinuka (Guest) on July 9, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Catherine Naliaka (Guest) on May 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Sultan (Guest) on April 30, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Sarah Karani (Guest) on April 11, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Nora Lowassa (Guest) on March 31, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on March 29, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Jabir (Guest) on February 14, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Hellen Nduta (Guest) on January 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on December 25, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on December 6, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Susan Wangari (Guest) on October 29, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Kawawa (Guest) on September 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on September 7, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Malima (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Nahida (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Kawawa (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Hassan (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Francis Mrope (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Achieng (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on February 27, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on December 31, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Fadhili (Guest) on December 24, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hekima (Guest) on December 22, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lydia Wanyama (Guest) on December 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on November 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Latifa (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on September 8, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jabir (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Malela (Guest) on July 24, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joyce Nkya (Guest) on June 28, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on June 14, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Joyce Mussa (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on May 13, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on April 8, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More