Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"





"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"





Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."





Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."





"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.





Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"





Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….





Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.





Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthui (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on April 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on April 17, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lucy Mahiga (Guest) on March 7, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on February 7, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on February 7, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rabia (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Maida (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Maida (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jamila (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on November 25, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on September 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on September 14, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Baraka (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on September 3, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 7, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Josephine Nduta (Guest) on July 6, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Kawawa (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on June 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on May 31, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on May 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on May 19, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nassar (Guest) on May 13, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 12, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on May 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on March 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on February 7, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Frank Macha (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Abubakari (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on November 26, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on November 16, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Kazija (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

George Tenga (Guest) on August 23, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Richard Mulwa (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Husna (Guest) on July 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on June 23, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Grace Mushi (Guest) on June 18, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mgeni (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Robert Okello (Guest) on May 6, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Kikwete (Guest) on April 25, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Kawawa (Guest) on April 25, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kevin Maina (Guest) on April 20, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More