Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on June 30, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on June 26, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 9, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Azima (Guest) on April 23, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on February 8, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on January 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 11, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Zawadi (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raha (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on October 29, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Patrick Akech (Guest) on October 18, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Masika (Guest) on October 3, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jane Muthoni (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mjaka (Guest) on September 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on August 22, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Juma (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine (Guest) on August 11, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on August 6, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on May 26, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on May 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on May 16, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on April 9, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on March 25, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on March 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on February 5, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 23, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on January 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on January 1, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on December 27, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on November 5, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Saidi (Guest) on October 25, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on October 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 17, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 10, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Kimani (Guest) on July 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Selemani (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on July 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 1, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on May 21, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

David Nyerere (Guest) on May 14, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kijakazi (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on May 3, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More