Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on June 30, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on June 26, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 9, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Azima (Guest) on April 23, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on February 8, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on January 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 11, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Zawadi (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raha (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on October 29, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Patrick Akech (Guest) on October 18, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Masika (Guest) on October 3, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jane Muthoni (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mjaka (Guest) on September 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on August 22, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 18, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Juma (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine (Guest) on August 11, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on August 6, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on May 26, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on May 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on May 16, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on April 9, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Richard Mulwa (Guest) on March 25, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on March 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on February 5, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 23, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on January 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on January 1, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on December 27, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on November 5, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Saidi (Guest) on October 25, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on October 24, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 17, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 10, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Kimani (Guest) on July 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Selemani (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on July 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 1, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on May 22, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on May 21, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

David Nyerere (Guest) on May 14, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kijakazi (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on May 3, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More